Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Kagera, Fikira Kisimba (katikati)
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.
Mwakilishi wa Mkuu wa Polisi wilaya ya Bukoba, Mkaguzi John Kayunga
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa waratibu
maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015.
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa waratibu
maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015.
Mratibu maafa wilayani Muleba Mkoani Kagera, Ruth Ishabakaki
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa wilayani Muleba wakati wa
mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa waratibu maafa mkoani Kagera
tarehe 24 Juni, 2015, mafunzo hayo yameratibiwa na Idara ya Uratibu
maafa Ofisi ya Waziri Mkuu.
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa wilayani Muleba wakati wa
mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa waratibu maafa mkoani Kagera
tarehe 24 Juni, 2015, mafunzo hayo yameratibiwa na Idara ya Uratibu
maafa Ofisi ya Waziri Mkuu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...