Umati wa wakazi wa kata ya Nguruka Wilaya ya Uvinza Kigoma wakiwa kwenye mkutano wa  kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na maradhi ya  Fistula yanayowakabili wanawake hapa nchini,Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania kupitia taasisi yake ya Vodacom Foundation  inaendelea kufanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wakina baba kuwaruhusu wakina mama wajitokeze  ili wakatibiwe maradhi hayo kwani yanatibika. Inakadiriwa ni  wastani ya wanawake 3,000 hupatwa na maradhi hayo  wanapojifungua.
 Wakazi wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wakimsikiliza kwa makini  Meneja Biashara Idara ya Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Grace Lyon (wapili kutoka kushoto ) alipokuwa akiwafafanulia jambo wakina baba hao kuhusiana na kampeni inayoendelea katika mikoa mitatu nchini ya kuelimisha  wakina baba na wanchi kwa ujumla kuwaruhusu wakina mama wajitokeze  ili wakatibiwe maradhi fistula kwani yanatibika,Inakadiriwa ni  wastani ya wanawake 3,000 hupatwa na maradhi hayo  wanapojifungua.Kampeni hiyo inaendeshwa na CCBRT na Vodacom Foundation.
 Meneja  Mawasiliano wa Hospitali ya CCBRT Abdul Kajumul , akiwaelezea wakazi wa kata ya Nguruka  Wilaya ya Uvinza  Kigoma waliofika kwenye mkutano na kupatiwa elimu kuhusiana na kampeni inayoendelea katika mikoa mitatu nchini ya kuelimisha  wakina baba na wanchi kwa ujumla kuwaruhusu wakina mama wajitokeze  ili wakatibiwe maradhi ya fistula bure katika hospitali ya CCBRT kwani yanatibika,Inakadiriwa ni  wastani ya wanawake 3,000 hupatwa na maradhi hayo  wanapojifungua.Kampeni hiyo inaendeshwa na CCBRT na Vodacom Foundation.
Msanii wa nyimbo za kiasili na Balozi wa maradhi ya Fistula Mrisho Mpoto akitoa elimu kwa wakazi wa Kata ya Nguruka wilaya ya Uvinza Kigoma,Kuhusiana na kampeni inayoendelea katika mikoa mitatu nchini ya kuelimisha  wakina baba na wanchi kwa ujumla kuwaruhusu wakina mama wajitokeze  ili wakatibiwe maradhi ya fistula bure katika hospitali ya CCBRT kwani yanatibika,Inakadiriwa ni  wastani ya wanawake 3,000 hupatwa na maradhi hayo  wanapojifungua.Kampeni hiyo inaendeshwa na CCBRT na Vodacom Foundation.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...