Madereva
wa bajaji jijini Mbeya, Mapema wameandamana kuanzia eneo la Mafiati kuelekea Mwanjelwa huku wakichoma moto mataili ya gari kwenye
baarabara kuu Tunduma katika makutano ya eneo hilo, kwa madai ya kwamba wanahitaji wapewe ruhusa ya kutembea na kuruhusiwa
kupita barabara kuu na kupunguziwa mapato ya ushuru wa bajaji hizo, hali ya usalama ilitetereka kidogo mjini hapa, hadi pale jeshi la polisi lilipofika kutuliza gasia kwa kupiga mabomu ya machozi kukabili hali hiyo.picha
zote na Fadhiri Atick globu ya jamii Mbeya.
Hapa heka heka ya baadhi ya madereva wa bodaboda na bajaji wakiwa wanachochea moto huku wakiimba na kushangilia jambo hilo.
polisi wakiendelea na uturizaji ghasia eneo la mafiati mbeya.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...