Afisa wa wa Wakala  wa Usajili,ufilisi na udhamini(RITA), Joseph Mwakatobe  akizungumza na Michuzi TV juu ya huduma wanazozitoa katika huduma  ya Wosia katika kuondoa migogoro ya miradhi  wakiwa katika maonyesho Wiki ya Utumishi inayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Shughuli za Maafa Idara ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu,Edgar Senga akizungumza na Michuzi TV juu ya huduma za  Mafaa wanavyotoa inapotokea majanga na kutaka wananchi wajue shughuli hizo zinazotolewa na kitengo hicho katika maadhimisho ya  Wiki ya Utumishi wa umma yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Msaidizi wa Ofisi ya  Kitengo cha Uratibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu,Lylian Mmari akitoa maelezo kwa mteja alipotembelea banda la ofisi ya Waziri Mkuu  katika maadhimisho ya  Wiki ya Utumishi wa umma yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.  
 Watumishi wa ofisi ya Waziri Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja katika banda la Waziri Mkuu katika maadhimisho ya  Wiki ya Utumishi wa umma  yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
  Kiongozi Mkuu na Mratibu wa Sayansi na Maendeleo ya Milleniam Vijijini katika kuondoa Umasikini ,Dk.Gerson Nyadzi akizungumza na Michuzi TV katika Banda la Wizara ya Fedha  juu ya wananchi walivyoweza kunufaika na miradi mbalimbali  katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.
 Afisa wa Wizara ya Fedha akitoa maelekezo kwa mteja aliopotembelea banda la Wizara ya fedha katika maaonyesho ya wiki ya utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mhasibu wa Wizara ya Fedha Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali ,Kitengo cha Pensheni,Emelda Mzatulla akizungumza na Michuzi TV juu ya huduma wanazozitoa katika kitengo cha pensheni katika Wiki ya Utumishi inayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

 Wakili wa Serikali,Msajili Mkuu wa Talaka wa Wakala  wa Usajili,ufilisi na udhamini(RITA), Edna Msuya akitoa maelekezo kwa wananchi waliofika katika maonyesho ya  Wiki ya Utumishi wa umma inayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...