Wafanyakazi wa Global Publishers wakiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Robert Tillya wakati wa maziko Uru-Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Watoto wa marehemu, Getruda na Niveti wakiweka shada la maua.
Mwili wa marehemu Robert Tillya ukishushwa kaburini.
Ndugu, jamaa na wafanyakazi wa Global wakifukia kaburi.
Mke wa marehemu, Daya, akisaidiwa baada ya mazishi.
Baba wa marehemu, Ridoch Tillya (kushoto) akiwa na mtoto wa marehemu, Niveti. Kulia ni baba mkubwa wa marehemu Mzee Tillya akiwa na mtoto mkubwa wa marehemu.
(PICHA: RICHAR BUKOS/GPL)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...