Katika kutambua na kudhamini juhudi za Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulahman Kinana katika kukuiimarisha chama Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Vicky Kamata amejitolea kutoa baiskel 500 kwa wanawake wa Umoja wa Wanawake wa mkoa mzima wa Geita ambapo Wanawake hao watatumia baiskel hizo kukuiimarisha chama. Pichani Mhe Kamata akipongezwa kwa moyo wake huo
Baiskeli alizotoa Mhe Vick Kamata mkoani Geita
Mhe. Vicky Kamata akihutubia umati wa wananchi kwenye mkutano huo wa hadhara mkoani Geita
Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulahman Kinana akifurahia jinsi Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Vicky Kamata alivyojitolea kuwainua kinamama wenzake wa Geita
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...