Mwenyekiti wa kamati ya mahusiano ya jamii UVCCM Dar es Salaam kamanda mstaafu wilaya ya Kinondoni Wakili Juma Mhina(PIJEI) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa baraza la wazazi wa jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam wimshoni mwa juma. Kushoto ni Mjumbe wa Halmashauri kuu jimbo la kawe Ramadhan Ndanga (POTIPOTI).
Mwenyekiti wa kamati ya mahusiano ya jamii UVCCM Dar es Salaam kamanda mstaafu wilaya ya Kinondoni Wakili Juma Mhina(PIJEI)wakiteta jambo katika mkutano wa kufungua baraza la wazani wa jimbo la Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la wazazi kata ya Kawe jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...