Mtunza ghala la kuhifadhi vifaa vya maafa mkoani Shinyanga, Asha Issa akiwaonesha Wakaguzi wa Hesabu za Serikali, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini, Jacob Ndaki (katikati) na John Obeid, rangi zitumiwazo na wanafunzi kuchora zilizo hifadhiwa ghalani hapo, wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua ghala hilo, tarehe 3 Juni, 2015.
Baadhi ya marobota ya mablangeti yaliyohifadhiwa katika ghala la kuhifadhi vifaa vya maafa mkoani Shinyanga, wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua ghala hilo, tarehe 3 Juni, 2015.
Baadhi ya makasha yaliyohifadhi vifaa vya maafa katika ghala la kuhifadhi vifaa hivyo mkoani Shinyanga, wakati Ofisi ya Waziri Mkuu ilipokagua ghala hilo, tarehe 3 Juni, 2015.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...