Mratibu wa Programu ya kukuza Ajira zenye Staha Dar es Salaam, kupitia Elimu ya Biashara na Maendeleo ya Ujasiriamali Bw. Dominic Ndunguru akiwasilisha mada kuhusu utekelezaji wa program hiyo jana jijini Dar es Salaam. Programu hii inaendeshwa kwa ubia wa asasi za kiraia za Tanzania Youth Vission Associataion (TYVA), Open Mind Tanzania (OMT)  na Youth For Africa (YOA).
 Mshauri wa maswala ya Sera na Miradi ya Maendeleo wa Tanzania Youth Vision Association Bw. Elly Ahimidiwe Imbyandumi akifafanua jambo kwa washiriki wa mkutano wa kutathmini utekelezaji wa Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha katika jiji la Dar es Salaam (YEID jana katika ukumbi wa Kituo cha Vijana cha Don Bosco cha jijini Dar es Salaam.Programu hii inaendeshwa kwa ubia wa asasi za kiraia za Tanzania Youth Vission Associataion (TYVA), Open Mind Tanzania (OMT)  na Youth For Africa (YOA).
 Afisa Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Godfrey Nyaisa akielezea jambo wakati wa mkutano wa asasi za Vijana kujadili utekelezaji wa Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha jijini Dar es Salaam (YEID) mradi huo unalenga kuwajengea uwezo  vijana ili waweze kujiajiri na kuajirika. Programu hii inaendeshwa kwa ubia wa asasi za kiraia za Tanzania Youth Vission Associataion (TYVA), Open Mind Tanzania (OMT)  na Youth For Africa (YOA).
 Baadhi ya washiriki wa mkutano wa asasi za vijana wakifuatilia mada zilizokuwa zinawasilishwa wakati wa mkutano wa asasi za Vijana uliofanyika jana jijini Dar es Salaam ili kujadili utekelezaji wa Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha jijini Dar es Salaam (YEID) mradi huo unalenga kuwajengea uwezo  vijana ili waweze kujiajiri na kuajirika. Programu hii inaendeshwa kwa ubia wa asasi za kiraia za Tanzania Youth Vission Associataion (TYVA), Open Mind Tanzania (OMT)  na Youth For Africa (YOA).
Washiriki wa mkutano wa asasi za Vijana ILI kujadili utekelezaji wa Programu ya Kukuza Ajira zenye Staha jijini Dar es Salaam (YEID) wakiwa katika picha ya pamoja. Picha na Frank Shija, WHVUM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. thank you sir for the news you give this. really very good indeed. and I want to add a little bit of information specifically for adult men and women.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...