Sensei Yoshiro Miyazato, Kancho Mwenyekiti wa Okinawa Goju Ryu Jundokan So Honbu akimkabidhi cheti cha Dan ya 3 Sensei Rumadha Fundi mjini Naha, Okinawa, hivi karibuni. Sensei Rumadha sasa anashikilia Dan 3 kutoka vyama viwili vya karate – ikiwa ni Dan 3 kutoka Okinawa Goju Ryu Karate na Dan 6 kutoka Tanzania Karate do Federation.
Sensei Rumadha akiwa Jundo Kan Dojo, chimbuko la Goju Ryu Karate duniani, lililoko Naha, Okinawa.
Mke wa Kancho Miyazato akimfundisha mtoto wa Sensei Rumadha, Iman, juu ya Sanaa hiyo ya kujilinda.
Sensei Rumadha akiwa mbele ya kaburi la mwanzilishi wa Naha te  Goju Ryu Karate, Master Kanryo Higashionna (Higaona) huko Okinawa.
Sensei Rumadha na bintiye Iman wakipata chakula cha jioni na wenyeji wao mjini Naha, Okinawa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...