Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk. Florence Turuka (wa pili kulia) akionyesha ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji mara tu baada ya kuizindua kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia  ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Nakuala Senzia (wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya TIC,  Prof. Lucian Msambichaka (wa pili kushoto) na Mjumbe wa kamati ya Bodi ya TIC, Dr Frances Shao.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk. Florence Turuka (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),  Prof. Lucian Msambichaka kwa pamoja wakizindua ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Nakuala Senzia (wa kwanza kulia), akizungumza wakati wa uzinduzi waripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji mara tu baada ya kuizindua kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Pembeni yake ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk. Florence Turuka (wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),  Prof. Lucian Msambichaka (Katikati) na Mjumbe wa kamati ya Bodi ya TIC, Dr Frances Shao.
Baadhi ya wageni waalikwa na wafanyakazi wa TIC waliohudhuria hafla fupi ya uzinduzi wa ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana wakifuatilia uwasilishaji wa mada mbalimbali kuhusu uwekezaji zilizoambatana na uzinduzi huo.
Baadhi ya wageni waalikwa na wafanyakazi wa TIC waliohudhuria hafla fupi ya uzinduzi wa ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana wakifuatilia uwasilishaji wa mada mbalimbali kuhusu uwekezaji zilizoambatana na uzinduzi huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...