Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzomna Spika wa Bunge la nchi ya Finland Mhe Maria Lohela siku alipotembelea bunge la nchi hiyo.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mabalozi wa sasa na wa zamani waliopata kuiwakilisha Finland nchini Tanzania. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini humo, Balozi Dorah Msechu.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mtafiti na mwanasayansi  Mtanzania wa mambo ya mawasiliano na mitandao katika Chuo Kikuu cha Aalto cha Helsinki Dkt Edward Mutafungwa alipotembelea chuoni hapo kujionea shughuli za chuo hicho maarufu nchini Finland
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na   Mfalme Gustav wa 16  wa Sweden katika kasri la Mfalme wa  nchi hiyo jijini Stockholm.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 04, 2015

    Ulaya Ulaya ukiangalia kuta na mapambo yanapendeza.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 05, 2015

    Huyu Rais Kikwete ametuwakilisha vizuri sana nje ya nchi. Uchangamfu mkubwa na, AFYA, repeat, AFYA nzuri. Rais akiwa mzee sana kama Mugabe au MGONJWA kama alivyokuwa marehemu Banda ni shida...Rais wa namna hiyo atakuwa anahudhuria mahospitali tu wakati za ziara za nje!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...