Ni usiku wa ‘Stara Fashion Show’ ambayo inategemea kufanyika siku ya Jumamosi ya tarehe 13 June 2015. Hivyo hupaswi kukosa show hiyo kwani Mama wa mitindo alimaarufu kwa Jina la Asya Idorous Khamsin ataipamba Fashion Show hiyo kwa mitupia ya hatari, Itakuwa ni mapema sana kuanzia saa moja jioni Katika Ukumbi wa City Garden ni onyesho la kipekee lenye mavazi ya heshima tofauti na jinsi ambavyo umezoe kuona Fashion Show zingine.

Usiku huo umeandaliwa na Kampuni ya ‘Jast Tanzania Limited’ chini ya usimamizi wa mratibu wa Kampuni hiyo Juhu Mohammed Kessy wakishirikiana na Founder wa Kampuni hiyo Latifah Makau.
Wana kuletea raha zote na burudani nyingi kwa mtonyo wa buku 20000/= yaani elfu Ishirini tu! na kwa wale wa VIP ni elfu 40000/= tu. Usicheze mbali

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...