Kingine kipya kutoka Star Times kinadondoka kwako! App kali ya Tenbre; sasa itakufanya uzipate habari zote kali, chat room inakayokupa uwezo wakualika marafiki, kupiga stori mbalimbali za vipindi vya Startimes ambapo tabasamu hutawala.

Orodha yote ya vipindi vya wiki nzima itakuwa kiganjani mwako kupitia smartphone yako, unapata uwezo wakipekee kupanga channel uzipendazo kutegemeana na nchi; au mkoa. Si hilo tu, wale wapenzi wa filamu na muziki na habari zataifa hatuja waacha nyuma. 
                                                                                                                                                                                 
 Utaona vipindi vikiruka live, vipindi vifuatavyo kwenye ratiba na pia kukusaidia kuweka kumbukumbu ya vipindi vyako bora unavyo vipenda.

Tazama salio lako la pochi yamtandaoni kwaurahisi zaidi, kujua salio kiasi gani limebaki kwenye akaunti yako. Yote ndani yaTenbre, huduma bora toka StarTimes.

Ukitaka kudownload bonyeza hapa bofyahapa
Kama unaswali au ungependa kujua zaidi, tembelea kurasa za Startimes hapa chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. naitwa Prince venance natafuta marafiki wengi ili tu chati na kujuana zaidi my no 0689683560

    ReplyDelete
  2. natafuta mpenzi (girlfriend) awe tanga umri 20_25 msg zitajibiwa 0786818413

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...