Wakurugenzi watendaji na maofisa wa uchaguzi wa Halmashauri za Wilaya Mkoani Manyara, wakila viapo kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura yaliyofanyika jana mjini Babati.
Mchambuzi mwandamizi wa kompyuta wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) Joseph Mally akionyesha vifaa vya Biomertic Voter Registration (BVR) vitakavyotumika kwenye uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Mkoani Manyara, jana mjini Babati.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...