Mkurugenzi wa Fedha na Uwekezaji,
Deusdedit Rutazaa akitoa maelezo ya huduma zinazotolewa katika banda la Mfuko
wa Taifa wa Bima ya Afya kwenye maonesho
ya Wiki ya Utumishi Viwanja vya Mnazi Mmmoja, Dar es Salaam jana.
Vitengo vya upimaji afya bure, Elimu
kwa Umma na Uanachama wakiendelea kutoa huduma kwa wananchi waliofika bandani
hapo.
Mwananchini akihudumiwa ndani ya gari
la wagonjwa baada ya kuonekana anahitaji huduma ya kwanza katika banda la
Mfuko. NHIF imeweka gari maalum kwa ajili ya kutoa huduma za haraka kwa
wananchi watakaopata tatizo la afya viwanjani hapo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...