Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiwa amekata utepe kuashiria uzinduzi wa usafiri wa boti (Majini) katika suala zima la kurahisisha  kuhamasisha kampeni ya Uhamasishaji Watanzania Kutembelea Hifadhi za Taifa,hafla hiyo imefanyika mapema leo asubuhi ndani ya Yatch Club,jijini Mwanza,kulia ni  Mkurugenzi wa Hifadhi za Taifa ,Tanzania (TANAPA) Allan Kijazi 
  Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiwa amekata utepe kuashiria uzinduzi wa usafiri wa magari (nchi kavu) katika suala zima la kurahisisha  kuhamasisha kampeni ya Uhamasishaji Watanzania Kutembelea Hifadhi za Taifa,hafla hiyo imefanyika mapema leo asubuhi ndani ya Yatch Club,jijini Mwanza
Picha ya pamoja mara baada ya kufanyika kwa kampeni ya Uhamasishaji Watanzania Kutembelea Hifadhi za Taifa,hafla hiyo imefanyika mapema leo asubuhi ndani ya Yatch Club,jijini Mwanza.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza mapema leo asubuhi ndani ya Yatch Club wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa kampeni ya Uhamasishaji Watanzania Kutembelea Hifadhi za Taifa,kampeni hiyo imezinduliwa leo jijini Mwanza .
 Mkurugenzi wa Hifadhi za Taifa ,Tanzania (TANAPA) Allan Kijazi akizungumza mapema leo asubuhi ndani ya Yatch Club wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa kampeni ya Uhamasishaji Watanzania Kutembelea Hifadhi za Taifa,kampeni hiyo imezinduliwa jijini Mwanza.

 Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza mapema leo asubuhi ndani ya Yatch Club wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa kampeni ya Uhamasishaji Watanzania Kutembelea Hifadhi za Taifa,akiwa amezungukwa na baadhi ya Wanafunzi kutoka vyuo mbali mbali ambao watahusika kwa namna moja ama nyingine kushiriki kuhamasisha watu mbalimbali katika suala zima la kutangaza utalii wa ndani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...