Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi. Regina Kikuli (wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma alipowatembelea tarehe 21 Juni, 2015.
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi. Regina Kikuli (wa pili kutoka kushoto) akimsikiliza kwa makini Mratibu wa Shughuli za Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Edger Senga akielezea juu ya sera ya uratibu wa Menejimenti ya maafa alipowatembelea wakati wa maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma tarehe 21 Juni, 2015.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi. Regina Kikuli akipitia kitabu cha Mkakati wa Mawasiliano wakati wa Maafa alipotembelea Idara ya Uratibu wa Maafa wakati wa maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Juni 21, 2015 kulia ni Mratibu wa Shughuli za Maafa Bw. Edger Senga. (Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...