Amiri wa Jumuiya ya Answari Suna Tanzania, Shekh. Juma Omari Poli (kulia), akiswalisha Swala ya Iddi katika viwanja hivyo.
 Shekh Hamid Abdallah, akitoa mawaidha wakati wa ibada ya Swala ya Idi katika Viwanja vya Jangwani Dar es Salaam leo.

Waumini wa dini ya kiislam wakiwa kwenye ibada hiyo.
 Waumini wa madhehebu ya Anwar-Suni wakiswali katika viwanja hivyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 17, 2015

    Naomba kuuliza, kwa nini dhehebu hilo wanasali siku moja kabla na waislamu wnegine? Mie niliambiwa Waislamu aidha waone mwezi au wamalize siku 30.. naomba mnielimishe..

    ReplyDelete
  2. Swali zuri.
    Ndugu yetu kauliza swali na mimi nitajaribu kulijibu kwa ufahamu wangu.
    Hao nadhani wanafuata kalenda ya kuandama mwezi Saudi Arabia.
    Kwa kiifupi hizi ikhitaf ndogo ndogo zisitushugulishe saana. Na zinaweza kuwa rehma kwa kuongeza elimu
    . Kinachotakiwa ni kusikiliza hoja za mashehe na kimisingi ya Koran na hadithi na vitendo vya Mtume.
    Baada ya hapokumuachia Mwenyezi Mungu na mtu kufata anayoridhika nayo.
    Mimi nafuata kauli ya kuona mwezi katika nchi ninayoishi. Hivyo Kesho .
    Kimuhimu ni kuwa msifarikiane na kuishi kindugu kama tulivyoamrisha. Haya madehebu yanarudi kwenye shina moja Uislam.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...