Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya (PBZ) na wageni walikwa wakiingia kwenye ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort kwa kupata futari iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa wana Famili wa Benki hiyo na wateja wao.
 Mkurugenzi Masoko PBZ Seif Suleiman akiwaongoza wageni walikwa kupata futari iliyoandaliwa na Benki hiyo. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
 Walikwa na wafanyakazi wa PBZ wakijipakuli futari.
 Walikwa na wafanyakazi wa PBZ wakijipakuli futari.
 Mkurugenzi Huduma za Kibenki Said M. Said akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya PBZ Juma Amour (hayupo pichani) azungumze na walikwa.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya watu wa Zanzibar PBZ Juma Amour akizungumza na wanafamilia wa Benki hiyo na wageni walikwa waliofika kupata futari ya pamoja iliyoandaliwa na Benki yao kwenye ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini nnje kidogo ya Mji wa Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo, Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...