Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na Viongozi wengine katika  futari iliyoitayarisha kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi  jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja.
 Wananchi na Waislamu wa    Mkoa Mjini  Magharibi   wakiwa katika  futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja
 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akijumuika na wake wa Viongozi wakati wa futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja.
 Akinamama wa  Mkoa wa Mjini magharibi  wakiwa katika futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana  katika viwanja vya Ikulu Mjini Uguja.
 Wananchi na Waislamu wa Mitaa mbali mbali katika  Mkoa Mjini  Magharibi Unguja  wakiwa katika  futari iliyotayarishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Unguja  [Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakiagana na  Wananchi baada yafutari waliyoitayarisha jana kwa wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakiagana na Wananchi wa  Mkoa wa Mjini Magharibi waliohudhuria katika futari waliyowaalika jana katika viwanja vya Ikulu Mjini Ungu baada  ya kumalizikakwa futari hiyo,[Picha na Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...