Taarifa ya ajali gari kugonga treni tarehe 01/07/2015 majira ya 0730 gari no T. 837 CTM aina ya ISUZU Jouney mali ya FEISAL s/o HUWEL ikitokea Tindiga kwenda Morogoro ikiendeshwa na Bakari s/o Seleman 35yrs mkazi wa kilosa iligonga treni no 88u03 treni iliyokuwa ikitoka Morogoro kwenda Dodoma ikiendeshwa na Inea s/o Chipindula 48yrs mkazi wa Morogoro
Ajali hiyo imesababisha vifo vya watu 4, (01)Salehe s/o Gombaike 35yrs mkutu, (02)Mama Husna 33yrs mzaramo mkazi mamoyo, (03)Sulat Mwajiri 06yrs, (04)Mwajiri 38yrs mkazi wa Pugu dar es salaam, majeruhi 25 wote wamelazwa hospitali ya wilaya Kilosa.
Imetolewa na KAIMU RPC MOROGORO
Ajali hiyo imesababisha vifo vya watu 4, (01)Salehe s/o Gombaike 35yrs mkutu, (02)Mama Husna 33yrs mzaramo mkazi mamoyo, (03)Sulat Mwajiri 06yrs, (04)Mwajiri 38yrs mkazi wa Pugu dar es salaam, majeruhi 25 wote wamelazwa hospitali ya wilaya Kilosa.
Imetolewa na KAIMU RPC MOROGORO
Jamani vipi tena huyo mtoto alieko chini hapo mbona kama kavunjwa miguu na ajali, na hawaishwi hospitali askari wa barabarani waendelea na kazi yao ya kupima pima utu uko wapi? sidhani kama ni kosa la huyo mtoto, taabu sana binadamu
ReplyDeletePoleni wafiwa na walioathirika wa ajali hii.
ReplyDelete