Mwenyekiti wa QAML Mwenyekiti,Yusuf Manji wa
kwanza kulia, Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni
ya magari ya General Motors East Africa (GMEA) Limited, Mario Spangenberg wakikata utepe kuashiria
uzinduzi wa jengo la Isuzu uzinduzi huo uliofanyika jiji Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya General motors (GMEA) Bi.
Rita Kavashe akisaini makubaliano ya
kibiashara na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Quality automotive Vinay
Upadhyay.
Mkurugenzi mtendaji wa GMEA Rita Kavashe alisema Kampuni
ya General motors kuingia katika soko la Tanzania ilikuwa ni sehemu ya mkakati
wa muda mrefu katika kampuni hiyo ili kuimarisha uwepo wake Afrika
Mashariki. Kulia ni Rais na Mkurungenzi Mtendaji wa (GM) Africa Mario Spangenberg.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...