Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo
wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani.
Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?
Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya
mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa
ukamilifu


HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME
Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya
tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili
kama  ifuatavyo :
Hatua  ya  kwanza, ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara
na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Na  hatua  ya  pili  ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa
muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo
kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER
ERECTION
JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA.

1. HATUA   YA  KWANZA:

DAMU  KUTIRIRIKA  KWA  KASI KUINGIA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME  NA
KUUFANYA  UUME  KUSIMAMA  NA  KUWA  MGUMU.

Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu
iliyopo  kwenye  ubongo,  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti
wa  mgongo, ambayo  nayo  hupeleka  taarifa  hadi  kwenye  mishipa  ya
 uume. Taarifa  inapofika  kwenye  mishipa  ya  uume  huifanya
mishipa hiyo  ku-relax  na  hatimaye   kufanya  mishipa  ya  ateri
kufunguka  na  kutanuka. Mishipa  ya  ateri  inapo  tanuka  na
kufunguka, huruhusu  damu  kuingia  kwa  kasi  ndani  ya  mishipa  ya
uume  na  hivyo  kuufanya  huume  kusimama.

Ni  muhimu  kujua  kuwa, mishipa  ya  uume  inapo relax  hupelekea
kuisukuma na  hatimaye  kuiziba  mishipa  ya  vena  iliyo  karibu  na
mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuiondolea  uwezo  wa  kunyonya  damu
iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  sehemu  nyingine
 za  mwili.

N.B: Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kunyonya  damu  iliyomo
ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine
za  mwili.  Au  kwa  lugha  nyingine  unaweza  kusema, kazi  kubwa  ya
 mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya
 uume.

KWA   MAELEZO  ZAIDI, TEMBELEA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...