Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo
wakabili mamilioni ya wanaume duniani.
Tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ni nini ?
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya
mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa
ukamilifu
HATUA MBILI MUHIMU KATIKA KUSIMAMA KWA UUME
Ili mwanaume aweze kufanya tendo la ndoa na andelee kufanya
tendo la ndoa, ni lazima uume wake upitie hatua kuu mbili
kama ifuatavyo :
Hatua ya kwanza, ni lazima uume wake uweze kusimama barabara
na kuwa mgumu kama msumari.
Na hatua ya pili ni lazima, uume wake uendelee kusimama kwa
muda mrefu wakati wa tendo la ndoa. Hatua zote mbili zinapo
kamilika, ndipo tunapo pata kitu kinaitwa STRONGER AND LONGER
ERECTION
JINSI HATUA ZA KUSIMAMA KWA UUME ZINAVYO TOKEA.
1. HATUA YA KWANZA:
DAMU KUTIRIRIKA KWA KASI KUINGIA NDANI YA MISHIPA YA UUME NA
KUUFANYA UUME KUSIMAMA NA KUWA MGUMU.
Unapopata wazo la kufanya tendo la ndoa, mishipa ya fahamu
iliyopo kwenye ubongo, hupeleka ishara kwenye mishipa ya uti
wa mgongo, ambayo nayo hupeleka taarifa hadi kwenye mishipa ya
uume. Taarifa inapofika kwenye mishipa ya uume huifanya
mishipa hiyo ku-relax na hatimaye kufanya mishipa ya ateri
kufunguka na kutanuka. Mishipa ya ateri inapo tanuka na
kufunguka, huruhusu damu kuingia kwa kasi ndani ya mishipa ya
uume na hivyo kuufanya huume kusimama.
Ni muhimu kujua kuwa, mishipa ya uume inapo relax hupelekea
kuisukuma na hatimaye kuiziba mishipa ya vena iliyo karibu na
mishipa ya uume na hivyo kuiondolea uwezo wa kunyonya damu
iliyomo ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka sehemu nyingine
za mwili.
N.B: Kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kunyonya damu iliyomo
ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka katika sehemu nyingine
za mwili. Au kwa lugha nyingine unaweza kusema, kazi kubwa ya
mishipa ya vena ni kuhakikisha hakuna damu kwenye mishipa ya
uume.
KWA MAELEZO ZAIDI, TEMBELEA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...