Je wewe ni Chef wa Kitanzania? Basi jiunge na Whatsapp group la Tanzania Chef's Club ambalo unaweza jiunga kwa kutuma request mobile no +46709297384 Lengo likiwa ni kukutana, kufahamiana, na kusaidiana ki-taaluma popote ulipo duniani - KARIBUNI SANA - Chef Issa
Home
Unlabelled
INTRODUCING TANZANIA CHEF'S CLUB
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...