Kiwanja  kipya cha Maraha kifahamikacho kwa jila la Maisha Club Basement kimeanza kupiga kazi usiku huu kwenye jengo jipya la LAPF, Makumbusho jijini Dar es salaam. Kiwanja hiki ambacho ni cha kisasa kabisa ni mbadala wa Maisha Club iliyokuwepo Masaki, hivyo sasa kila kitu kinapatikana hapa.
 Ndani ya Kiwanja hicho maalum kwa kuruka majoka kunaonekana namna hii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...