Mwenyekiti wa Tawi la CCM-CHINA Bw.Juma Mashinene (kushoto) akimkabidhi Dr.Nobeji Boniphace Shija cheti cha uwanachama- CCM- Beijing.
Katibu mkuu Tawi la CCM-CHINA Bw.Joel Kayombo (kushoto) akimkabidhi Dr.Nobeji Boniphace Shija cheti cha uwanachama- CCM- Beijing."
Baadhi ya makada wa Tawi la CCM-CHINA wakiwa kwenye picha ya pamoja ambayo iliambatana na chakula cha jioni huko Beijing, China.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...