
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi
wa Sweden Nchini Tanzania, Lennarth Hjelmaker, wakati Balozi huyo
alipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 16,
2015 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Balozi wa
Sweden Nchini Tanzania, Lennarth Hjelmaker, baada ya mazungumzo yao
yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai
16, 2015 alipofika kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...