Fatilia Mkutano wa Mh. Edward Lowassa leo Jumanne tar 28/07/2015, kuanzia saa 9 alasiri kwa saa za Afika Mashariki. itakuwa live kupitia hapa http://live.wogmedia.co.tz/channel/view/karibu-1
Home
Unlabelled
Mh. Edward Lowassa kuunguruma leo jijini Dar, Fatilia mkutunao huo kupitia hapa kuanzia saa 9 alasiri
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mbona hakuna kitu? Au maamuzi magumu yamepata kigugmizi?
ReplyDeleteMimi Nina hofu na wanahabari. Asilimia 98 Wako chadema hii iko wazi ukifuatilia uhamaji WA Lowasa kwenda chadema jinsi walivokuwa wakishangilia wameonyesha wazi huku mkutano na ccm wanaeleza kuwa ccm wamekwepa maswali magumu hiyo ciyo kweli hat a kidogo wawe wakweli. Ccm imemuondoa mtu mchafu na wapinzani wanachukua watu ambao waliwatukana na kukashifu.
ReplyDelete