
Mmoja wa viongozi CUF akiongea kwenye mkutano wa Wananchi ulioandaliwa na Mbunge wa Lindi Mjini Mhe. Salum Barwany leo Jumapili katika kuwashukuru wananchi wa Jimbo lake.

Mkutano wa CUF mjini Lindi leo Jumapili July 19, 2015 ulioandaliwa na Mbunge Mhe. Salum Barwany katika kuwashukuru wananchi wa Jimbo lake.

Wafuasi wa chama cha CUF wakihudhuria mkutano huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...