Beki wa timu ya LLBA ya Burundi, Hakizimana Issa akijaribu
kumzuia mchezaji wa timu ya APR ya Rwanda, Mubumbyi Barnabe katika mchezo wa
Kome la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijioni Dar es Salaam. APR imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande)
Beki wa LLBA FC ya Burundi, Manirakiza Aruna akioko hatari langoni mwake.
Heka heka katika lango la timuya LLBA FC.
Simbomana Patrick wa APR ya Rwanda (kulia) akichuana na mchezaji wa LLBA FC ya Burundi, Ndaye Chancel.
Uwimana Messo akimiliki mpira uku akizongwa na mchezaji wa APR, Simbomana Patrick.
Picha na Francis Dande
Picha na Francis Dande
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...