Waziri wa Kazi na
Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akiwa
Wajumbe nchi hiyo waliokuja
kutembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) ili kujifuza na
kwenda kutekeleza katika nchi yao hafla
hiyo imefanyika katika ofisi za Makao
Makuu leo jijini Dar es Salaam.
Afisa wa uanachama
wa NHIF,Twahiru Hauke akitoa maelezo kwa
Mkurugenzi wa Kazi Maalum wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Siera leone,Mohamed
Godoe walipotembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es
Salaam.
Waziri wa Kazi na
Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akipewa
maelezo na Msimamizi wa Mifumo ya Komputa
wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jinsi ya kuhifadhi nyaraka za wananchama wa NHIF walipotembelea leo ofisi za Makao Mkuu ya Mfuko wa Taifa wa
Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.4
Mkurugenzi wa Masoko
wa NHIF ,Rehan Athuman akizungumza na waandishi wa habari juu ya ugeni
waliopokea kutoka nchini Siara leone leo
katika ofisi za Makao Makuu ya NHIF jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Kazi na
Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba akizungumza na waandishi wa
habari juu ziara ya kutembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF walipofika
katika Makao Makuu ya leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka wa
Globu ya Jamii)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...