Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akiwa Wajumbe nchi hiyo  waliokuja kutembelea  Mfuko wa  Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) ili kujifuza na kwenda kutekeleza katika nchi yao  hafla hiyo imefanyika katika  ofisi za Makao Makuu  leo jijini Dar es Salaam.
 Afisa wa uanachama wa NHIF,Twahiru Hauke  akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Kazi Maalum wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Siera leone,Mohamed Godoe walipotembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akipewa maelezo na Msimamizi wa Mifumo ya Komputa  wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jinsi ya kuhifadhi  nyaraka za wananchama wa NHIF  walipotembelea  leo ofisi za Makao Mkuu ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.4
 Mkurugenzi wa Masoko wa NHIF ,Rehan Athuman akizungumza na waandishi wa habari juu ya ugeni waliopokea kutoka  nchini Siara leone leo katika ofisi za Makao Makuu ya NHIF jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba akizungumza na waandishi wa habari juu ziara ya kutembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF walipofika katika Makao Makuu ya leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...