Bwana Masinde Bwire kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira akiwasilisha mada juu ya mabadiliko ya Tabia Nchi kwenye warsha ya
Wadau kuhusu mipango ya kuhimili mabadiliko ya tabianchi iliyoandaliwa na Ofisi
ya Makamu wa Rais.
Profesa Kangarawe akiwasilisha mada katika warsha hiyo
mjini Bagamoyo.
Sehemu ya Wadau waliohudhuria wrsha hiyo wakifuatilia kwa
makini uwasilishaji mada juu ya mabadiliko ya Tabia Nchi.
Wajumbe waWarsha hiyo wakiwa katika magrupu kwa ajili ya
kujadili kile walichofundishwa katika warsha hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...