Meza Kuu ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete tayari kwa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi unaoendelea usiku huu kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convetion Centre, uliopo njia ya Kuelekea Chuo Kikuu cha UDOM, Mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Aliekuwa Mgombea Urais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya Kuelekea Chuo Kikuu cha UDOM, Mjini Dodoma.
 Baadhi ya Wake wa Viongozi wakiwa kwenye Mkutano huo.
 Mmoja wa Wagombea Urais alieingia kwenye hatua ya tatu bora, Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia baadhi ya wajumbe wa Mkutano huo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Ndg. Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Aliekuwa Mgombea Urais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM unaofanyika usiku huu kwenye Ukumbi wa Dodoma Convition Centre, uliopo njia ya Kuelekea Chuo Kikuu cha UDOM, Mjini Dodoma.
 Mmoja wa Wagombea Urais alieingia kwenye hatua ya tatu bora, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya Mabalozi walioalikwa kwenye Mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2015

    Ankel
    Fanya correction kidogo, the whole world is following ypur report on this CONVENTION not anything else.Samahani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...