Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2015

    Strategy za kiulinzi zibadilike na wakati jamani. Hivi sasa kuna wimbi la kuvamiwa vituo vya police sana. Na hapa sio speculation lakini ni lazma kuna kitu. Sasa, Camera ziwekwe kwenye vituo vya police, barabara, madukani, mitaani, mabenk, majumbani, na hata maeneo ambayo mtu anaweza asihisi kuwa kuna security.Hii itasaidia sana kurahisisha utambuzi na ukamataji wa wahalifu. Boston, ilichukua siku tatu tu kukamata wahuni wa mlipuko kwa sababu police wali-analyze videos zote kwenye mitaa ya Boston na maeneo ya tukio la mlipuka. Sasa Bongo, tuende na wakati- maana Wahuni hawa naona wanataka kutunyima usingizi. Poleni askari wetu na raia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 14, 2015

    Du poleni sana wafiwa na R.I.P wote mlitutangulia.
    Inasikitisha sana kuona maisha ya wenzetu yanakatizwa kiukatili namna hii

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 14, 2015

    Zanzibar kumeanza kuwe,wa cctv

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...