Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsindikiza Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn ambaye anapunga mkono wakati mgeni huyo alipoondoka nchini baada ya ziara yake ya siku moja
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsindikiza Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn alipoondoka nchini baada ya ziara yake ya siku moja
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na Waziri Mkuuwa Ethiopia, Hailemariam Desalegn ambaye anapunga mkono wakati mgeni huyo alipoondoka nchini baada ya ziara yake ya siku moja. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...