Msanii wa kizazi kipya na mkali wa miondoko ya R&B Ben Pol akitumbuiza katika jukwaa la Coke Studio wakati wa tamasha la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika mwishoni mwa wiki nchini Kenya. Wasanii wengine walikuwepo katika tamasha hilo ni Wangechi (Kenya) pamoja na Silver Stone (Ghana)
Msanii wa kizazi kipya na mkali wa miondoko ya R&B Ben Pol kutoka nchini (kulia) na Wangechi kutoka Kenya wakitumbuiza katika jukwaa la Coke Studio wakati wa tamasha la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika mwishoni mwa wiki nchini Kenya.
Msanii wa kizazi kipya na mkali wa miondoko ya R&B Ben Pol kutoka nchini (kushoto) na Wangechi kutoka Kenya wakitumbuiza katika jukwaa la Coke Studio wakati wa tamasha la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika mwishoni mwa wiki nchini Kenya.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...