Muongozaji wa bendi ya polisi nchini Kenya akiongoza maandamano ya Ufunguzi wa Maonyesho ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo nchi zote za Afrika Mashariki zimeshiriki maonyesho hayo yanayoanza leo katika viunga vya Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyata.
Msafara wa uzinduzi wa maonyesho ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ukiwa unatoka katika viwanja vya Uhuru Park uliopo ndani ya jiji la Nairobi kuelekea katika Viunga vya Ukumbi wa Kimataifa wa Kenyata ambapo baadhi ya wakazi wa nchi mbalimbali kutoka Afrika Mashariki wakionyesha bidhaa zao.
Watanzania wakiwa na bendera ya nchi kabla ya maandamano kuanza Katika viwanja vya Uhuru Park jijini Nairobi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...