Kaimu  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri Wa Anga Tanzania (TCAA) Varrely Chanmlunga akimkaribisha Meneja Mipango  wa Kimataifa wa  Idara ya uya uongozaji wa Ndege wa Marekani (FAA) Michele Cappelle  wakati wa Warsha ya uongozaji  wa ndega  barani afrika  iliyoandaliwa na  Idara ya Anga ya Marekani  .Washa hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara  ya Uongozaji  wa Ndege ya Marekani (FAA) Tony Ferrante.
 Baadhi ya washiriki wa Warsha ya uongozaji wa Ndega  barani afrika  iliyoandaliwa na  Idara ya Anga ya Marekani (FAA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)leo  jijini Dar es Salaam wakifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikitolewa katika warsha hiyo.
 Mkurugenzi wa Idara  ya Uongozaji  wa Ndege  nchini  Marekani (FAA) Tony Ferrante akitoa mafunzo ya uongozaji wa ndege wakati wa warsha iliyowashirikisha waoungozaji ndege kutoka barani afrika ,wakati wa warsha iliyoandaliwa na Idara ya uongozaji wa Ndege ya Marekani  na  TCAA ,leo jijini Dar es Salaam.  Wanao msikiliza kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri Wa Anga Tanzania (TCAA) Varrely Chanmlunga, Meneja Mipango  wa Kimataifa wa  Idara ya uya uongozaji wa Ndege wa Marekani (FAA) Michele Cappelle  na  mtaalamu  wa mipango  wa idara ya uongozaji wa ndege  wa Marekani FAA,Rebecca Barthe
Washiriki wa warsha ya uongozaji wa ndege barani afrika wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa warsha hiyo iliyoandaliwa na Idara ya uongozaji wa ndege ya Marekani FAA kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania TCAA,iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...