Ujenzi wa barabara ya Iringa-Dodoma umekamilika kwa asilimia 95, bado maeneo machache tu likiwemo hili la Mlima Nyang'oro ambapo Wachina wameuchonga ili kupunguza kona katika umbali wa kilometa 15. 
Wakati wakandarasi walipokuwa wanajenga daraja hili katika eneo la Miangalua kwenye barabara ya Tunduma-Sumbawanga mwaka 2011. Barabara hiyo sasa imekamilika.
Barabara ya Mwanza-Musoma iko katika hali nzuri. 
Ujenzi wa barabara ukiendelea katika baadhi ya miradi nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Katika hizo kilometers, ngapi zimejengwa Unguja na Pemba (Zanzibar)?

    ReplyDelete
  2. Katika hizo kilometers, ngapi zimejengwa Unguja na Pemba (Zanzibar)?

    ReplyDelete
  3. CCM OYEEEEE UKAWA ZIIIII

    ReplyDelete
  4. Kodi za wananchi at least zimetumika

    ReplyDelete
  5. Tatizo sio kujenga tu, utunzaji ukoje?! nilipita kule mbele ya ushirombo hali ni tete, hata za hapo jijini Dar ni vituko, hata walizotuachia watishi (Binti Matola, barabara za mwananyamala) sasa hivi ni mashimo, sijui tunakwenda wapi!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...