Meneja Masoko Kanda ya Pwani, Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya Manispaa ya Kinondoni. Vifaa vilivyotolewa na mfuko huo ni jezi seti 30, mipira 30 pamoja na viatu jozi 30. (Na Mpiga Picha Wetu)
Meneja Masoko Kanda ya Pwani, Yessaya Mwakifulefule (kushoto), akimkabidhi vifaa vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 5 mjumbe wa bodi ya timu ya Manispaa ya Kinondoni, Abbas Tarimba. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya timu hiyo, Yusuph Mwenda zilizotolewa na mfuko huo kwa ajili ya timu hiyo.
Meneja Masoko Kanda ya Pwani, Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi jezi Mwenyekiti wa Bodi ya timu soka ya Kinondoni, Yusuph Mwenda zilizotolewa na mfuko huo kwa ajili ya timu hiyo. Wanaoshuhudia ni wajumbe wa Bodi ya timu hiyo, Abbas Tarimba (kulia) na Mtemi Ramadhani (wa pili kushoto).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...