Msanii
wa Muziki wa Kizazi kipya, Kala Jeremiah akiongea na waandishi wa
habari ili kuwaelezea onyesho lao la bure wanalotarajia kulifanya Agosti
23, 2015 Jumapili kwenye viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha
mashabiki wao kujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais,
Wabunge na madiwani wa Oktoba 25, 2015. Pembeni ni Joseph Haule
“Professa J”, Juma Kassim “Sir Nature” pamoja na Msagasumu.
Msanii
wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule “Professa J” akionyesha
msisitizo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya onyesho
lao la bure wanalotarajia kulifanya Agosti 23, 2015 Jumapili kwenye
viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha mashabiki wao kujitokeza
kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba
25, 2015.
Msanii
wa Muziki wa Kizazi kipya, Juma Kassim “Sir Nature” akionyesha
msisitizo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya onyesho
lao la bure wanalotarajia kulifanya Agosti 23, 2015 Jumapili kwenye
viwanja vya Zakhem, Mbagala kuwahamasisha mashabiki wao kujitokeza
kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani wa Oktoba
25.
Tanzania Oyeeeee! Tanzania Oyeeee! ndiyo wasanii hawa walivyokuwa wakitia msisitizo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.


KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...