Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na utoaji wa semina mbalimbali wanazozifanya kama wadhamini wakuu kwa waendesha badabado wakati wa maadhimisho ya wiki ya Usalama barabaranijijini dar es Salaam yaliyofanyika leo katika Viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam, kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania,Kulia kwake ni Mwenyekiti wa waendesha bodaboda Wilaya ya Kipolisi Buguruni Kanda ya Tabata, Ramia Mazwela.
Mgeni rasmi wa Uzinduzi wa wiki ya nenda kwa Usalama barabarani Mkoa wa Dar es Salaam,Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleman Kova ( watatu kutoka kulia) akiwa ameambatana na Maofisa wa jeshi hilo kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa wiki ya nenda kwa Usalama ikidhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...