Wasanii wa SHIWATA wakigaiwa maeneo ya kujenga katika kijiji cha Mwanzega Mkuranga.
Wasanii wakipata maelekezo kutoka kwa mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib kabla ya kugaiwa nyumba zao katika awamu ya mwisho Agosti 8, mwaka huu,SHIWATA yazialika klabu, taasisi za michezo kujenga stadium, kumbi za burudani kijijini kwao Mkuranga,.
Bado kuna ekari 290 bado hajizapata matumizi
.Kila mwanachama kupewa robo hekari bure
.Jella Mtagwa, Dua Said, Hamisi Kinye ni baadhi yao.


Na Mwandishi Wetu
MIAKA 15 imepita sasa kutoka wasanii na wanamichezo walipoungana na kuacha itikadi zao kwa kuanzisha kikundi cha kufanya maonesho ya pamoja, kusaidiana kwa hali na mali na kutafuta makazi ya pamoja ya kudumu.


SHIWATA inayongozwa na Mwenyekiti Cassim Taalib katika kutimiza malengo hayo kutoka ianzishwe mwaka 2004 imekuwa ikiandaa matamasha mbalimbali katika ukumbi wa Star Light na Lamada mkoani Dar es Salaam na katika viwanja vya wazi kama vile Bandari Tandika na vingine kutika kuonesha sanaa ya wanachama wake.

Baada ya SHIWATA kusailiwa Baraza la sanaa Taifa(BASATA) mwaka 2005 pia imesajiliwa na Mamlaka ya Leseni (BRELLA) kwa shughuli za kiuchumi ikiwa na dira ya kuwakomboa wasanii kuwa na maisha bora kupitia mtandao huu ifikapo mwaka 2015.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...