Mtaalam
wa Misitu ambae pia anafanya kazi na Mama Misitu kupitia Jumuiko la
Maliasili Tanzania (TNRF), Cassian Sanga akiendesha mjadala wa mada ya
kwanza ya usimamizi endelevu wa rasilimali za misitu nchini.
******************
Na Father Kidevu Blog.
Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu nchini (MJUMITA) leo imeanza mkutano wake Mkuu wa Siku mbili ambao kwanza umeanza na Warsha ya siku moja ya wadau wote wa mtandao huo. Wajum,be na wadau wa Mjumita kesho Agosti 18, watafanya mkutano mkuu ambapo mambo mbalimbali yatajadiliwa huku Kauli mbiu ya mwaka huu katika Mkutano huo unaofanyika mkoani Morogoro ikiwa ni 'TUCHAGUE VIONGOZI WATAKAO TETEA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU".
Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu nchini (MJUMITA) leo imeanza mkutano wake Mkuu wa Siku mbili ambao kwanza umeanza na Warsha ya siku moja ya wadau wote wa mtandao huo. Wajum,be na wadau wa Mjumita kesho Agosti 18, watafanya mkutano mkuu ambapo mambo mbalimbali yatajadiliwa huku Kauli mbiu ya mwaka huu katika Mkutano huo unaofanyika mkoani Morogoro ikiwa ni 'TUCHAGUE VIONGOZI WATAKAO TETEA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU".
Mtandao
huo umeandaa rasimu maalum ambayo wanakusudia kuigawa kwa wagombea wa
nafasi mbalimbali za uongozi pamoja na kutoa elimu kwa wananchi kuwa
katika mikutano yao ya kampenzi itakayoanza Agosti 22 mwaka huu nchini
kote wananchi wasisite kuwauliza wagombea hao juu ya mstakabali wa
rasilimali za misitu zilizopo katika maeneo yao kwa kuzingatia kuwa
misitu ni uhai kwa maisha ya mwanadamu.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...