Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa ubunge
wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na wananchi
wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa
kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa
kura za maoni.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano uliofanyika Majengo .
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akiwasalimia viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za kata na matawi waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano uliofanyika Majengo .
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye pia ndio mgombea wa
ubunge wa Jimbo la Mtama kwa tiketi ya CCM akipokelewa kwa shangwe na
wananchi wa kata ya Majengo wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano wa
kuwashukuru wananchi hao kwa kumpigia kura nyingi kwenye mchakato wa kura za maoni.
Wananchi wa Jimbo la Mtama wakishangilia kabla ya mkutano kuanza.
Wananchi wa Kata ya Majengo ,Mtama wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza mbunge wao mtarajiwa Nape Nnauye .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...