Globu ya Jamii imepata taarifa kutoka Wilayani Ludewa kuwa kumetokea ajali ya gari katika kata ya Lugarawa ambayo imepelekea vifo vya watu watano leo mchana.
Taarifa zinasema marehemu walikuwa wakitoka Lugarawa kwenda Shaurimoyo wakati gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kutumbukia katika mto Lugarawa (kama ionekavyo pichani).
Chanzo cha ajali hiyo bado kujulikana.
Habari zaidi tutawaletea kadiri ya zitakavyopatikana.
Taarifa zinasema marehemu walikuwa wakitoka Lugarawa kwenda Shaurimoyo wakati gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kutumbukia katika mto Lugarawa (kama ionekavyo pichani).
Chanzo cha ajali hiyo bado kujulikana.
Habari zaidi tutawaletea kadiri ya zitakavyopatikana.
Mungu aziliaze roho za marehemu mahali pema peponi
-Amina
-Amina
Poleni wafiwa. Wanaohusika na barabara waweke vizuio kuzuia ajali kama hii ya gari kuanguka mtoni siku zijazo.
ReplyDelete