SIMUtv: Lipumba afanya maamuzi magumu , ajivua rasmi uenyekiti CUF na kuituhumu UKAWA. Tazama zaidi uchambuzi wa habari za Magazeti. https://youtu.be/KdEMeaxaBA8
SIMUtv: Maamuzi magumu ya Lowassa yahamia kwa Lipumba. Aukosoa UKAWA na kujiuzuru. Mengi yaandikwa katika Magazeti ya Leo. https://youtu.be/EsToWBi9JVg
SIMUtv:UKAWA hali tete,mwamba mmoja wavunjika,wahaha na vikao kumjadili Lipumba kuachia ngazi. Jionee habari hizo katika Magazeti ya Leo.  https://youtu.be/iECu-SGN5Kk
SIMUtv: Klabu ya Mwadui FC imetamba kuingia 4 bora msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom baada ya kujihakikishia kusajili wachezaji machachari. https://youtu.be/PPEZQbRGA8E

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...