Napenda kuwajulisha wananchi wote kumetokea tabia ambayo sio nzuri kwa jamii watu kutengeneza maneno na kuanzisha post kwenye mitandao ya jamii isiyokuwa tija ili kumchafua mtu. 

Naomba ieleweke kuwa mimi binafsi sina account yoyote ya mtandao wowote wa jamii na wala sina mpango wakuwa nayo maana ninajua madhara yake watu wanatumia visivyo kupotosha jamii ukweli utabaki kuwa ukweli pamoja kwa maendeleo - 

Davis Moshi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Pamoja Davy ogopakabsa watuwamekuwa mafyawa mi tndao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...