Makamu Rais wa kampuni ya StarTimes, Bw. Michael Dearham (kushoto) akisalimiana na Jokate Mwegelo (kulia) atakae kuwa mtangazaji wa kipindi cha Mashariki Max kitakacho onyeshwa na StarTimes kupitia chaneli ya ST Swahili, wakati wa uzinduzi wa kipindi hicho uliofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni mtangazaji wa kipindi hicho nchini Kenya, Sarah Hassan. Picha na mpiga picha wetu. 
 Makamu Rais wa kampuni ya StarTimes, Bw. Michael Dearham (kushoto) akiwapungia mkono wageni pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes, Bw. Lanfang Liao (kulia) wakati wa uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakacho onyeshwa na StarTimes kupitia chaneli ya ST Swahili. Uzinduzi huo uliofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Picha na mpiga picha wetu.
Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes, Bw. Lanfang Liao (katikati) katika picha ya pamoja na watangazaji wa kipindi cha Mashariki Max Jokate Mwegelo (kulia) na Sarah Hassan (kushoto) wakati wa uzinduzi wa kipindi cha Mashariki Max kitakachoonyeshwa na StarTimes kupitia chaneli ya ST Swahili. Uzinduzi huo uliofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Picha na mpiga picha wetu. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...